WATOTO TUCHEZE
Taasisi hisiyo ya kiserekari itwayo LET GOD BE YOU (LGBY) imeandaa proglamu zao juu ya watoto itwayo WATOTO TUCHEZE NA TUSOME
ikiwa na malengo ya kuwafanya watoto wengi kupenda kusoma na kutambua vipaji vyao kwa maana watoto wengi ambao wapo hapo ni yatima na wanao ishi na mama pekeyake ukiwa kama mdau wa kupenda mabadiliko katika jamii unaweza kuungana nao kila jumamosi
1.kufulahi na watoto
2.kusoma na watoto
3.nakuwafundisha
![]() |
mmoja kati ya watoto akijisomea kitabu |
![]() |
watoto wakiwa na mwalimu wao kwa jina la HOSPIC MNEGA wakiwa wanacheza |
![]() |
pia picha hii ina waonyesha wakiwa na mwalimu wao AMINA HALIDI akiwa fundisha |
wakiwa wanaimba nakucheza |
No comments:
Post a Comment