JE NIKWANINI?
dunia nisehemu nzuri sana ambayo mungu katupatia tuishi.
lakini binadamu tunaifanya vibaya dunia hii sasa nikupe mfano;hivi nguo ukiichoka utanunua nyingine , gari ukilichoka utanunua jingine sasa .
SWALI: JE DUNIA UKIICHOKA UTAFANYA NINI ?
JE UTAISHI ANGANI?
Nikwamba jibu sahii huna niwapi utaishi ukiichoka dunia .sasa kwanini waichosha dunia labda ujanielewa namaanisha nini.angalia picha hizi utajua kwamba .KWANINI UNAICHOSHA DUNIA
KWANINI?
kwanini tunapenda pesa kuliko dunia ?
kwanini atufikilii kizazi kingine?
miti na misitu unayoiyona ilifanywa kazi kubwa na mababu zetu karne nyingi zilizopita nchi ilikua nzuri amna joto yaani DAR ES SALAAM ilikua kama MOROGORO sasa kwanini unaalibu mazingira
picha hizo mbili zinaonesha maisha yanyuma tuliokuanayo katikabaadhi ya misitu nasasa hilivyo inaumasana
UNGANA NAMIMI KUPAMBANA JUU YA UALIBIFU WA MAZINGIRA KWA KUSHARE
MUNGU IBARIKI TANZANIA

No comments:
Post a Comment