HISTORIA
Bagamoyo ni mji ambao unapatikana tanzania mkoa wa pwani. hii nisehemu nzuri ya kihistoria maana ukifika utajua hitoria nyingi usiyo ifahamu kuusu Tanzania utajua yafuatayo
1.makaburi ya kina surtani
2.magofu ya kare
3.mbuyu wenye miakamingi
4.bandari ya kwanza
5.kanisa la kwanza navingine vingiii
![]() |
karibu kaole hapandipo kaole ambapo kuna histolia kubwasana juu ya uislamu pwani "tuka tuka lole mwalabu kulonga choni pumbuje" huu ni msemo maalufu bagamoyo |
![]() |
![]() |
Hapa ndipo kwenye mbuyu mkubwa yaani unamiaka mingi sana kwasasa ni 1000 |
![]() |
haya nimabaki ya kare yakitumika katika ulinzi |
![]() |
nilipofika hapa nikajiuliza hilipoli la nini kumbe hapa ndipo ilikua bandari ya kwanza kabla ya dar es salaam |
![]() |
usiogope huu nimfano alivyo bebwa DR Living Stone alipokufa uko uganda kwa ugonjwa wa malaria |
![]() |
hivi ndivyo walivyo mbeba mpaka hufika Tanzania walitumia miezi kumi na miwili |
![]() |
huu mnyororo unao huona ulikua mrefu sana ulikua unatumika kwa ajiri ya kufunga punda wa MADAME DE CHEVALIER |
![]() |
Na hili ndo kanisa la kwanza TANZANIA |
KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA BAGAMOYO JUA HISTORIA YA TANZANIA

No comments:
Post a Comment