TANGAZA NASISI

TANGAZA NASISI
bei zetu ni nafuu sanaaaaa

matangazo


Thursday, March 23, 2017

MH NAPE NNAUYE APIGWA CHINI

Baada ya Rais Dkt John Pombe Magufuli Alhamisi hii kufanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri kwa kumpiga chini aliyekuwa Waziri wa Waziri wa Habari , Utamaduni , Sanaa na Michezo, Mh Nape Nnauye na nafasi yake kuchukuliwa na Dkt. Harrison Mwakyembe, Nape amewataka wananchi kutulia


No comments:

Post a Comment